Yanga imeendelea kupeperusha vyema bendera ya Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya Jumamosi iliyopita kuibuka na ...
BEKI wa kati wa Klabu ya Yanga, Dikson Job, amesema ushindi mkubwa wanaoupata kwenye michuano ya kimataifa unachangiwa kwa ...
BAADA ya kuiwezesha timu yake kufuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi, amesema kwa ...
BEKI wa kati Mtanzania, Noela Luhala anayeitumikia ASA Tel Aviv inayoshiriki Ligi ya Wanawake, Israel ni kama amejihakikishia ...
UKISIKIA mkwara basi ndio huu. Pamoja na kikosi cha Yanga kuonekana kuwa tishio hasa baada ya kucheza mechi saba tofauti za ...
Kikosi cha Yanga kwa kundi la pili limepaa leo alifajiri kuifuata CBE SA ya Ethiopia kwa ajili ya mchezo wa mkondo wa kwanza wa raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini kabla ya ...
Ijumaa, Septemba 6, ripoti kutoka kwa kundi la wataalamu wa Umoja wa Mataifa inashutumu kambi zote mbili kwa ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu na kutoa wito wa kutumwa kwa kikosi cha kuingilia ...
YANGA imetupa dongo kwa watani zake wa Jadi Simba wakisema hakuna wa kuwazuia kucheza kwenye Uwanja wa Halmashauri ya ...
Williams, alikuwa na United tangu akiwa umri wa miaka tisa, aliachiliwa msimu wa joto baada ya mechi 51 za kikosi cha kwanza. Kwa sasa yupo huru na hana klabu mpya. Victor Moses, 33, anatafuta ...
(Star) Mshambulizi wa Napoli, Victor Osimhen, ambaye alilengwa na Chelsea katika dirisha la majira ya kiangazi, ameachwa nje ya orodha ya kikosi cha timu yake kwa msimu wa Serie A. (La Gazzetta ...
Ricardo Malajika put on yet another virtuoso performance at Emperor’s Palace in Gauteng, South Africa, on Friday night, knocking out local rival Yanga Sigqibo in the 11th round of a junior ...
Wachezaji wa kikosi cha Yanga wakifanya mazoezi kwenye uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba kuelekea mchezo dhidi ya Kagera Sugar leo. BINGWA wa Kombe la Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga leo inaanza kampeni ya ...